Maandamano hayo yalifanyika kufuatia kutengenezwa filamu huko Marekani inayomvinjia heshima Mtume Muhammad s.a.w. Watu walioshuhudia wameleza kuwa, wanajeshi wa Marekani waliwafyatulia risasi raia wa Yemen kutokea ndani ya ubalozi na kuwauwa. Mji wa Taiz pia huko Yemen leo umeshuhudia maandamano makubwa ya wananchi dhidi ya filamu hiyo ya udhalilishaji ya Marekani iliyotengenezwa na Sam Bacile.
Maandamano hayo yalifanyika kufuatia kutengenezwa filamu huko Marekani inayomvinjia heshima Mtume Muhammad s.a.w. Watu walioshuhudia wameleza kuwa, wanajeshi wa Marekani waliwafyatulia risasi raia wa Yemen kutokea ndani ya ubalozi na kuwauwa. Mji wa Taiz pia huko Yemen leo umeshuhudia maandamano makubwa ya wananchi dhidi ya filamu hiyo ya udhalilishaji ya Marekani iliyotengenezwa na Sam Bacile.
No comments:
Post a Comment