eneo la Jau huko Kordofan Kusini karibu na mpaka na Sudan Kusini. Hata hivyo habari hiyo haijathibitishwa na duru rasmi za jeshi la Sudan. Jeshi la Ukombozi la Wananchi wa Sudan (SPLA) limekuwa likitekeleza mashambulizi ya mara kwa mara katika siku za hivi karibuni, kama radiamali yake dhidi ya mashambulizi ya anga yanayofanywa na jeshi la Sudan kuvilenga vijiji vya eneo la Kordofan.
eneo la Jau huko Kordofan Kusini karibu na mpaka na Sudan Kusini. Hata hivyo habari hiyo haijathibitishwa na duru rasmi za jeshi la Sudan. Jeshi la Ukombozi la Wananchi wa Sudan (SPLA) limekuwa likitekeleza mashambulizi ya mara kwa mara katika siku za hivi karibuni, kama radiamali yake dhidi ya mashambulizi ya anga yanayofanywa na jeshi la Sudan kuvilenga vijiji vya eneo la Kordofan.
No comments:
Post a Comment