Kwa mujibu wa ripoti hiyo, wakazi wa eneo hilo waliivamia ngome ya harakati hiyo na kuibomoa sambamba na kuziteka ngawira silaha na zana za kivita za waasi hao. Sediq Abdel-Nabi ameitaka jamii ya kimataifa kuchunguza tukio hilo na kuilazimisha serikali ya Sudan Kusini kuheshimu mikataba ya kimataifa na kukomesha mashambulizi yake dhidi ya raia wasio na ulinzi wa jimbo hilo.
Kwa mujibu wa ripoti hiyo, wakazi wa eneo hilo waliivamia ngome ya harakati hiyo na kuibomoa sambamba na kuziteka ngawira silaha na zana za kivita za waasi hao. Sediq Abdel-Nabi ameitaka jamii ya kimataifa kuchunguza tukio hilo na kuilazimisha serikali ya Sudan Kusini kuheshimu mikataba ya kimataifa na kukomesha mashambulizi yake dhidi ya raia wasio na ulinzi wa jimbo hilo.
No comments:
Post a Comment