Bi. Christine Chanet aliyeoongoza jopo hilo amesema Israel inakiuka Mkataba wa Geneva kwa kujenga vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Palestina. Baada ya kutolewa ripoti hiyo, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesisitiza kuwa Israel inapaswa kusitisha harakati za ujenzi wa vitongoji katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ikiwa ni pamoja na Quds Mashariki. Mamlaka ya Ndani ya Palestina imetishia kuichukulia Israel hatua za kisheria katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) iwapo Tel Aviv itaendeleza ujenzi katika maeneo ya Palestina inayoyakaliwa kwa mabavu.
Bi. Christine Chanet aliyeoongoza jopo hilo amesema Israel inakiuka Mkataba wa Geneva kwa kujenga vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Palestina. Baada ya kutolewa ripoti hiyo, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesisitiza kuwa Israel inapaswa kusitisha harakati za ujenzi wa vitongoji katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ikiwa ni pamoja na Quds Mashariki. Mamlaka ya Ndani ya Palestina imetishia kuichukulia Israel hatua za kisheria katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) iwapo Tel Aviv itaendeleza ujenzi katika maeneo ya Palestina inayoyakaliwa kwa mabavu.
No comments:
Post a Comment