Pages

Friday, March 29, 2013

Picha za Muonekano wa Ghorofa lililoanguka Asubuhi ya Leo Kariakoo












Mabaki ya jengo hilo lililoporomoka jijini da es salaam amablo lipo barabara ya morogoro mtaa wa indiana.Huku ni mashuhuda watukio hilo wakiwa eneo hilo muda huu..Maiti zaidi zinaokolewa bado idadi kamili haijafahamika mpaka sasa.Endelea kupitia audifacejackson blogspot kwa taarifa ziadi

No comments:

Post a Comment