madawa na matibabu, imebainisha taarifa ya shirika hilo la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF). Hivi karibuni Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) ulitangaza kuwa, watoto wanaokaribia laki mbili wanakabiliwa na hatari ya kufariki dunia au kujeruhiwa na milipuko ya mabomu nchini Mali. UNICEF ilisema kuwa mabomu hayo ambayo bado hayajalipuka yamesalia nchini Mali tangu mwanzoni mwa mapigano yanayoendelea sasa kati ya vikosi vya majeshi ya Ufaransa na makundi yenye silaha katike eneo la kaskazini mwa Mali.
madawa na matibabu, imebainisha taarifa ya shirika hilo la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF). Hivi karibuni Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) ulitangaza kuwa, watoto wanaokaribia laki mbili wanakabiliwa na hatari ya kufariki dunia au kujeruhiwa na milipuko ya mabomu nchini Mali. UNICEF ilisema kuwa mabomu hayo ambayo bado hayajalipuka yamesalia nchini Mali tangu mwanzoni mwa mapigano yanayoendelea sasa kati ya vikosi vya majeshi ya Ufaransa na makundi yenye silaha katike eneo la kaskazini mwa Mali.
No comments:
Post a Comment