Wimbi kubwa la wahajiri kutoka kusini mwa jangwa la Sahara limekuwa likipita nchini Morocco na kuelekea Uhispania, lakini limekuwa likikumbana na mateso wakati wa kuondoka nchini humo. Morocco inahesabiwa kuwa kivuko muhimu cha wafanya magendo ya dawa za kulevya na wahajiri haramu ambao hujaribu kuingia Ulaya kinyume cha sheria.
Wimbi kubwa la wahajiri kutoka kusini mwa jangwa la Sahara limekuwa likipita nchini Morocco na kuelekea Uhispania, lakini limekuwa likikumbana na mateso wakati wa kuondoka nchini humo. Morocco inahesabiwa kuwa kivuko muhimu cha wafanya magendo ya dawa za kulevya na wahajiri haramu ambao hujaribu kuingia Ulaya kinyume cha sheria.
No comments:
Post a Comment