Hata hivyo uamuzi huo unapaswa kuthibitishwa na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa. Imeelezwa kuwa gharama za kuendesha operesheni za AMISON zinadhaminiwa na Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika na wanajeshi wengi wa kikosi hicho wanatoka nchi za Uganda, Burundi na Kenya. Kundi la al Shabab limeshadidisha operesheni zake dhidi ya majeshi ya kigeni na hasa baada ya kupoteza udhibiti wa ngome zake hasa hasa katika maeneo ya kusini mwa nchi hiyo.
Hata hivyo uamuzi huo unapaswa kuthibitishwa na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa. Imeelezwa kuwa gharama za kuendesha operesheni za AMISON zinadhaminiwa na Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika na wanajeshi wengi wa kikosi hicho wanatoka nchi za Uganda, Burundi na Kenya. Kundi la al Shabab limeshadidisha operesheni zake dhidi ya majeshi ya kigeni na hasa baada ya kupoteza udhibiti wa ngome zake hasa hasa katika maeneo ya kusini mwa nchi hiyo.