Sheria ya maandamano katika rasimu ya katiba ya Misri inaeleza kuwa, ni marufuku waandamanaji kukaribia maeneo ya serikali na kidiplomasia, maafisa wa usalama wanapaswa kuarifiwa juu ya maandamano kabla ya maasaa 24 na hakuna haki ya kukusanyika katika meidani na kufunga barabara.
Sheria ya maandamano katika rasimu ya katiba ya Misri inaeleza kuwa, ni marufuku waandamanaji kukaribia maeneo ya serikali na kidiplomasia, maafisa wa usalama wanapaswa kuarifiwa juu ya maandamano kabla ya maasaa 24 na hakuna haki ya kukusanyika katika meidani na kufunga barabara.