Hata hivyo Kamanda Aziz Muhammed amekanusha madai hayo na kusema kuwa wanalichukulia tukio hilo kuwa la kawaida tu la kihalifu na pia kuongeza hawana vipeperushi vya aina yoyote vinavyoelezea kutishwa viongozi wa kidini wala hawaamini kwamba matukio hayo yanafanywa dhidi ya dini fulani. Ameongeza kuwa, Padri Ambros ni mhasibu kanisani na kwamba huenda hiyo ndiyo sababu iliyopelekea kushambuliwa na wahalifu waliodhani kuwa amebeba pesa.
Hata hivyo Kamanda Aziz Muhammed amekanusha madai hayo na kusema kuwa wanalichukulia tukio hilo kuwa la kawaida tu la kihalifu na pia kuongeza hawana vipeperushi vya aina yoyote vinavyoelezea kutishwa viongozi wa kidini wala hawaamini kwamba matukio hayo yanafanywa dhidi ya dini fulani. Ameongeza kuwa, Padri Ambros ni mhasibu kanisani na kwamba huenda hiyo ndiyo sababu iliyopelekea kushambuliwa na wahalifu waliodhani kuwa amebeba pesa.
No comments:
Post a Comment