Mufti huyo wa Libya amesema, kitendo cha serikali ya Tripoli cha kutowajali wananchi, kimetoa msukumo kwa raia hao kutoa ombi hilo la kutaka kuifanya Libya kuwa shirikisho. Ameongeza kuwa viongozi wa serikali wanapasa kuwa na uwezo wa kutekeleza majukumu yao ili kuzuia kukiukwa umoja wa mamlaka ya nchi. Wakati huohuo umoja wa maulamaa wa Libya pia umesema kuwa, kuifanya Libya kuwa shirikisho ni kitendo haramu na marufuku na kusisitiza kuwa mfumo wa shirikisho una madhara makubwa kwa nchi hiyo.
Mufti huyo wa Libya amesema, kitendo cha serikali ya Tripoli cha kutowajali wananchi, kimetoa msukumo kwa raia hao kutoa ombi hilo la kutaka kuifanya Libya kuwa shirikisho. Ameongeza kuwa viongozi wa serikali wanapasa kuwa na uwezo wa kutekeleza majukumu yao ili kuzuia kukiukwa umoja wa mamlaka ya nchi. Wakati huohuo umoja wa maulamaa wa Libya pia umesema kuwa, kuifanya Libya kuwa shirikisho ni kitendo haramu na marufuku na kusisitiza kuwa mfumo wa shirikisho una madhara makubwa kwa nchi hiyo.
No comments:
Post a Comment