Akizungumza katika kikao cha tatu cha
wakuu wa nchi za Kiarabu na Kiafrika huko Kuwait kwa niaba ya Ikmaluddin
Ehsanoghlo Katibu Mkuu wa OIC, Naibu Katibu Mkuu wa jumuiya hiyo Samir
Bakr Diab amesema kuwa taasisi hiyo imeanzisha mfuko wa maendeleo ya
mshikamano wa Kiislamu wenye mtaji wa dola bilioni kumi ili kuzisaidia
taasisi mbalimbali za kibiashara za nchi wanachama wa jumuiya hiyo.
Wednesday, November 20, 2013
OIC yaunga mkono natija ya kikao cha Kuwait
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment