Milipuko hiyo miwili iliyotokea nje ya ubalozi wa Iran mjini Beirut imepelekea watu wasiopungua 23 kuuawa na wengine 140 kujeruhiwa. Kundi la kigaidi la brigedia ya Abdullah Azzam lenye mfungamano na mtandao wa al Qaida limetangaza kuhusika na milipuko hiyo. Rais Michel Suleiman wa Lebanon amelaani milipuko hiyo na kusema kuwa serikali yake itafanya kila iwezalo kuwasaka waliohusika na kuwafikisha mbele ya vyombo vya sheria.
Milipuko hiyo miwili iliyotokea nje ya ubalozi wa Iran mjini Beirut imepelekea watu wasiopungua 23 kuuawa na wengine 140 kujeruhiwa. Kundi la kigaidi la brigedia ya Abdullah Azzam lenye mfungamano na mtandao wa al Qaida limetangaza kuhusika na milipuko hiyo. Rais Michel Suleiman wa Lebanon amelaani milipuko hiyo na kusema kuwa serikali yake itafanya kila iwezalo kuwasaka waliohusika na kuwafikisha mbele ya vyombo vya sheria.
No comments:
Post a Comment