wanakabiliwa na hali mbaya ya mateso, kunyang'anywa mali na kuharibiwa mazao yao ya kilimo. Aidha kitengo cha masuala ya Kiafrika katika shirika hilo kimevituhumu vikosi vya usalama vya Sudan Kusini kwa kutotekeleza majukumu yao katika kukomesha vitendo hivyo. Kimesema kuna mashtaka chungu nzima na ya kutisha yanayovihusisha vikosi hivyo na uhalifu huo lakini kwamba serikali ya Juba imekataa kuchukua hatua zozote za kisheria dhidi ya wahalifu huku ikivitaja vitendo hivyo kuwa vidogo tu .
wanakabiliwa na hali mbaya ya mateso, kunyang'anywa mali na kuharibiwa mazao yao ya kilimo. Aidha kitengo cha masuala ya Kiafrika katika shirika hilo kimevituhumu vikosi vya usalama vya Sudan Kusini kwa kutotekeleza majukumu yao katika kukomesha vitendo hivyo. Kimesema kuna mashtaka chungu nzima na ya kutisha yanayovihusisha vikosi hivyo na uhalifu huo lakini kwamba serikali ya Juba imekataa kuchukua hatua zozote za kisheria dhidi ya wahalifu huku ikivitaja vitendo hivyo kuwa vidogo tu .
No comments:
Post a Comment