Taqavihussein amesema, kamati imeundwa na kamisheni hiyo kwa ajili ya kufuatilia hali ya Waislamu wa Myanmar na kuongeza kuwa, kwa mujibu wa hatua zilizochukuliwa na Wizara ya Mambo ya Nje, Ali Akbar Salehi Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anapanga kuitembelea Myanmar katika siku zijazo. Kufuatia mashambulizi ya hivi karibuni yaliyofaywa na Mabudha dhidi ya Waislamu wa Myanmar, watu wasiopungua 112 wameripotiwa kuuawa na huku maelfu ya wengine wakiyakimbia makazi yao.
Taqavihussein amesema, kamati imeundwa na kamisheni hiyo kwa ajili ya kufuatilia hali ya Waislamu wa Myanmar na kuongeza kuwa, kwa mujibu wa hatua zilizochukuliwa na Wizara ya Mambo ya Nje, Ali Akbar Salehi Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anapanga kuitembelea Myanmar katika siku zijazo. Kufuatia mashambulizi ya hivi karibuni yaliyofaywa na Mabudha dhidi ya Waislamu wa Myanmar, watu wasiopungua 112 wameripotiwa kuuawa na huku maelfu ya wengine wakiyakimbia makazi yao.
No comments:
Post a Comment