Social Icons

rss feed facebook twitter google plus linkedin youtube email

Saturday, December 27, 2014

MAASKOFU WAMPONGEZA RAIS KIKWETE



dar-es-salaam.

maaskofu wa madhehebu mbalimbali za kikristo nchini wamepongeza uamuzi wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania  dr jakaya mrisho  kikwete wa kuwawajibisha watendaji  wake.
wakizungumza kwa mnasaba wa sikukuu ya krismasi maaskofu hao, wametaka  kutoishia kuchukua hatua  kwa  waliotajwa kuhusika na sakata la akaunti ya tegeta escrow pekee, bali  kuwachukulia hatua wazembe  na wote wanaokutwa na tuhuma mbalimbali katika utawala wake.
naye askofu michael hafidh wa zanzibar  amemshauri rais kikwete  kuendeleza utaratibu wa kuwawajibisha viongozi wazembe na wasio waadilifu katika  kazi  zao.

No comments:

Post a Comment