Social Icons

rss feed facebook twitter google plus linkedin youtube email

Tuesday, February 25, 2014

TIZAMA PICHA:Maelfu ya wananchi wa mkoa wa Hiraan wajitokeza na kupinga Wanajeshi wa Ehiopia.

Maelfu ya wananchi wa Kislaam wa Somalia wamejitokeza barabarani katika maeneo mbalimbali ya Miji ya Hiraan iliyoko katikati mwa Ardhi ya Somalia.
Maandamano hayo yalikuwa ya kupinga uingiliaji kati na uchokozi ulio wa wazi wa Serikali ya Ethiopia dhidi ya Ardhi ya Kislaam ya Somalia.
Kwenye Barabara ya mji wa Buula Barde walionekana mamia ya Wananchi waliokuwa wakipita kweye Barabara hizo huko wakitamka maneno dhidi ya Adui asilia ya Uvamizi wa Ethiopia aliyovishwa vazi la AMISOM.
Wazee wa koo wa Mkoa wa Hiraan,wanataaluma,walizungumza kwenye Maandamano hayo na kusema kuwa watakuwa tayari kuingia vita itakayochukua muda mrefu dhidi ya wanajeshi wa Ethiopia ili kuilinda Dini na Ardhi yao,waandamanaji wote hao waliokuwa wakipinga Wanajeshi wa Ethiopia kwa ujumla wamekubaliana kuwa Uingiliaji wa Ethiopia uliokuja na sura mpya hautoweza kuathiri chochote harakati iliyokuwa ikiendelea dhidi ya Maadui wa Kigeni walioivamia Rdhi ya Kislaam ya Somalia.

No comments:

Post a Comment