Social Icons

rss feed facebook twitter google plus linkedin youtube email

Sunday, June 3, 2012

25-26 may ,,,,,,, never forget that

Ni siku ambayo zanzibar haitosahaulika kwa yalio tokea,,,, barabara zlifungu kwa mawo na kuchomwa 
mtoto mipira ya gari,,,,,,, ni watu walio sababisha kutoke mambo  yale kwa shindikizo la watu binasfi ila kuipa sifa mbaya  jumuiya ya uamsho kutokana na  kitendo kilicho fanya na serekali kumkamata sheikh Mussa Juma
kuna baadhi ya  vyombo vya habari  vinasema kua uamsho ndio imefanya hivi  bali uamsho imekataa kitu  hicho na iwaseme kua ":hiki kikundi  kimetumwa  kwaajili ya kuichafulia jumuiya ya uamsho"


No comments:

Post a Comment