Social Icons

rss feed facebook twitter google plus linkedin youtube email

Sunday, May 27, 2012

Ooh,,,,,!! ZANZIBAR ZANZIBAR

kiukweli sio  ungwana maana wanachokidai ni haki yao na sio jengine
 


haya ni maeneo ya round about wananchi wameweka 
mawe kutokana  na tukio la kumkamata kiongozi mmoja wa uamsho



hapa ni maeneo ya mlandege,,,,, wananchi wamechoka  moto
 baadhi ya taka taka na mipira ya gari

No comments:

Post a Comment