Social Icons

rss feed facebook twitter google plus linkedin youtube email

Wednesday, May 23, 2012

maana ya LAA ILAHA ILA ALLAH

 

لا إله إلا الله

 

Thamani ya mwanadamu haipo katika mali yake wala cheo chake wala nafsi yake bali  thanani ya mwanadamu ipo katika sifa zake. Na bora ya sifa ya   makusudio yake  (TAGHAYUR YAKINI ) kubadilisha yakini kutoka katika  fikra  na mtizamo kwenda katika khabari kwa yale aliyotuhabalisha Allah  (S.W ) na Mtume wake (S.A.W )  (MINA MUSHAHIDATI ILA GHAIBAAT)kutoka katika vinavyoonekana  kwenda katika  ghaibu  na hiyo ndio iman.
      
                  Kama alivyosema  Allah  (ALADHINA YUUMINUNA BIL GHAIB)
             Waumini ni wale walio amini kwa ghaibu

             Ili kubadilisha yakini zote  hatuna budi kufanya dawa ya kukanusha na kuthibitisha
Tukanushe  vyote havikufanya , havifanyi na wala havitafanya  wala havimiliki madhara wala manufaa  bali mwenye kufanya naaliyemiliki na Alla (S.W )
Katika kukanusha  tukanushe mambo manne :-

Asnam   =  Masanamu na vile vyote  alivyovitengeza Mwanadamu kisha akavitegemea
Vyote tulivyovikuta isipokuwa Allah
Yakini faaski za  nyumati  zilizopita
Tujikanushe sisi wenyewe si lolote si chochote na wala hatumiliki chochote

Tukikanusha mabo manne Allah atatupa mambo manne :-
Atatuondoshea  yakini ya hivi vitu tunavyokanusha
Atatuondoshea  hofu na twaa ya hivi tunavyovikanusha
Atatuondoshea madhara ya hivi tunavyivikanusha
Atatubadilishia baada ya madhara atatupa manufaa ya hivi tunavyovikanusha

Itatengenea yakini yetu kwa kuweza kuvihama  kwa kupitia njia tatu :-
Swala
Hija
Kujitolea katika njia ya  katika  njia ya M / Mungu  
Na kufanya dawa sana na kumuomba Allah atupe yakini  sahihi

No comments:

Post a Comment