Social Icons

rss feed facebook twitter google plus linkedin youtube email

Tuesday, May 8, 2012

WAISLAM NIWENGI TANZANIA - CIA


Mainland - Christian 30%,

Muslim 35%, indigenous beliefs

35%; Zanzibar - more than

99% Muslim. Source:CIA web

page.Updated

13/04/2012 (Tanzania bara- Wakristo

30%,Waislam 35% na imani

nyingine 35%

Zanzibar-zaidi ya 99% ni

Waislam) Taarifa hii

niyakuaminika kwakuwa Shirika la ujasusi la

Marekani lina mawakala kila

mahali.

Taarifa hii imechapwa na CIA

katika mtandao wao tarehe

13/04/2012. Tanzania kwa muda mrefu

sana haijafanya sensa kwa

kutazama imani za watu wake

lakini chakushangaza hivi

karibuni TBC1 wamejitokeza na

kusema wakristo ni 52%,Waislam 32% na imani

nyingine ni 16%.Huu ni uongo

kwakuwa Tanzania haijawahi

kufanya sensa kwa kutazama

makundi ya dini za raia wake.

Kauli ya TBC ni kauli ya serikali,hivyo serikali itueleze

sensa hiyo ilifanyika lini na

ninani aliisimamia.

Endapo TBC na serikali

hawatasema takwimu hizo

wamezikusanya lini na vipi basi Waislam wote Tanzania

hatutashiriki katika sensa ya

mwaka huu. Ni vipi tuamini

kama serikali

inashindwa kujua idadi ndogo

tu ya wafanyakazi wake na mwisho kupoteza mabilioni ya

shilingi?

Kama hilo limewashinda

wamewezaje kutuletea

takwimu hizo za uwongo?

Lengo la kuleta takwimu hizi za wakristo 52% ni lipi?

Iko wazi! Sensa ya mwaka huu

tayari imepikwa! Na pili

kuwatega watu kisaikolojia

waamini wakristo ni wengi

hivyo wanahaki ya kuwa wengi serikalini na kwenye

mashirika.

Serikali itupe maelezo ya kina

la sivyo Waislam hatutashiriki

katika sensa ya Mwaka huu.

Kuchelewa kwa serikali na shirika lake la habari

kutasabisha kampeni ya

kuwaeleza Waislam

kutokushiriki sensa ya mwaka

huu. http://hakiforums.boardhost.com/

No comments:

Post a Comment