Social Icons

rss feed facebook twitter google plus linkedin youtube email

Wednesday, July 18, 2012

zanzibar msumari katika kidonda

zanzibar yametokea tena yale yale yalio tokea miezi  iliopita. mola  tuokoe kwa hili na lile,,,,,, inasemekana kuw boti iyo baada ya kupigwa na wimbi kubwa nahodha wa boti iyo aliwambia abiria kua ''boti ipo  salama sana ila tunakuombeni abiria mtulie''  dakika chache baada  kutolewa tamko ilo ghafla meli ilibiruka mnamo 9:30 jioni. baada ya  vyombo  vya habari vya serekali   kufika ndipo uokozi ukaanza mnamo  10:45 jioni,
baadae baadhi ya wahagha kupatikana na kulikua na mahojiano ya hapa na pale miongoni mwao  alisema kua '' meli baada ya  kupinduka wingi wetu walizama moja kwa moja na wachache  tulikua juu ya mgongo wa boti''
,,,,,,, kwa hayo machache na inshallah kwa kila litakalo endelea tutawajuulisha inshallah,,,,,,
WALLAHU A'LAM
 
hawa ni baadhi ya watu walio ukolewa baada ya meli iyo kuzama

inasemekana kua huyu ni mtu wa mwazo kuokolewe baada ya meli  kuzama

baada ya dakika chache meli  baada ya kupigwa na wimbi lililo  ambatana na upepo  mkali sana meli  ilizama  kwa muda mfupi sana



hawa ni watalii walio  ukolewa katika ajali 



hawa ni baadhi ya wana nchi wa zanzibar katika ufukwe wa forodhani wakiwa wangali hali  inavoendelea


ni baadhi ya watu wali  okolewa taki  ajali iyo


waandishi wa habari  nao  hawakukaa nyuma katika kuifata serekali  na kutaka tamko  juu ya ajali hii ingawa serekali  imesema kua meli  ilibeba abiria 250 bali  kuna baadhi ya mitandao ya simu imetuma ujumbe kua  watu walikua zaidi ya 400 

spika wa baraza la wakilishi akisalimiaana na baadhi ya viongozi katik bandari  kuu ya zanzibar



 miongoni mwa meli  zilizo toa msaada wa kuchukua majeruhi 


hawa ni baadhi ya maiti zilizo patikana
 

  
boti y flying huose ikieleweke katika eneo la tukio



baada ya kupinduka wache walikua juu ya mgongo wa  boti 



hawa ndio walio okolewa wakiwa wazima kabisa

na baadhi ya abiria walipata vifaa vya uokoaji katika boti iyo baada ya kuzama



helkopta nayo haikukaa nyuma katika kuonesha sehemu ilio  zama boti 

No comments:

Post a Comment