Social Icons

rss feed facebook twitter google plus linkedin youtube email

Monday, July 30, 2012

YANAYO BATILISHA (KUHARIBU) FUNGA



1- Kula au kunywa  kwa kukusudia.
2- Kila kinachoingia tumboni au kooni kwa kukusudia.
3- Kukutana kimwili (kuingiliana) kati ya mume na mke.
4- Kujitoa manii (mbegu za uzazi) au kusababisha kutokwa na manii (kwa kujichezea sehemu za siri, kukumbatiana au kupigana mabusu nakadhalika).
5- Kujitapisha kwa makusudi. Imepokewa hadithi kutoka kwa Abu Hurayrah (radhiya Allahu 'anhu)  amesema: amesema Mtume (Swalla Allahu 'alayhi wa sallam): {...na mwenye kujitapisha basi inamuwajibikia kulipa.}
(wameipokea maimamu watano).

6- Kutokwa na damu ya mwezi (hedhi) au damu ya uzazi (nifasi).

*Wakati wowote yanapomtokea mwanamke mawili hayo funga yake ya siku hio itakuwa imeharibika na itamlazimikia kuilipa siku hio baada ya mwezi wa Ramadhani.

No comments:

Post a Comment