Social Icons

rss feed facebook twitter google plus linkedin youtube email

Monday, April 8, 2013

Afrika Kusini kutuma wanajeshi Kongo DRC


Jeshi la Ulinzi wa Taifa la Afrika Kusini (SANDF) limesema kuwa litatuma wanajeshi wake huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kama sehemu ya kikosi cha Umoja wa Mataifa cha kusimamia usalama mashariki mwa nchi hiyo. Hayo yamesemwa leo na Brigedia Jenerali Xolani Mabanga wa Jeshi la Ulinzi wa Taifa la Afrika Kusini. Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wiki iliyopita lilipasisha azimio lilioidhinisha kutumwa kikosi cha uingiliaji kati huko Mashariki mwa Kongo ambapo serikali ya Afrika Kusini pia iliahidi kuchangia wanajeshi wake katika kikosi hicho.  Hata hivyo Brigedia Jenerali Mabanga amesema kuwa, bado haijafahamika tarehe ya

No comments:

Post a Comment