Social Icons

rss feed facebook twitter google plus linkedin youtube email

Monday, April 8, 2013

Mafuriko yauwa watu tisa huko Luanda Angola


Mafuriko yauwa watu tisa huko Luanda Angola
Mafuriko yaliyoikumba Luanda mji mkuu wa Angola yameuwa watu wasiopungua tisa na wengine wanne hawajulikani walipo. Watu hao walipoteza maisha baada ya nyumba zao kubomolewa na mvua kali zilionyesha juzi huko Luanda mji mkuu wa Angola. Miongoni mwa wahanga wa mafuriko hayo ni watoto. Shirika la habari la utangazaji la Angola (Angop) limeripoti kuwa mafuriko hayo ya juzi yamebomoa mamia ya nyumba za raia na kusababisha hasara kubwa ya mali. Limesema nyumba 500 zimebomoka katika maeneo ya Samba na Coreia pekee mjini Luanda.

No comments:

Post a Comment