Social Icons

rss feed facebook twitter google plus linkedin youtube email

Monday, August 19, 2013

Wafuasi wa Sheikh Ponda wapiga kambi Segerea


Wafuasi wa Sheikh Ponda wapiga kambi Segerea
Habari zinasema kuwa wafuasi wa Sheikh Ponda Issa Ponda ambye anashikiliwa katika gereza la Segerea jijini Dar es Salaam nchini Tanzania baada ya kutoka hospitalini  wamezuiliwa kumowana kiongozi huyo wa kidini na wametishia kuinyima CCM kura katika uchaguzi wa mwaka 2015 huku Profesa Lipumba wa chama cha Cuf akitaka afutiwa mashtaka. Ofisa habari wa magereza kwa jina la Deodatus Kizinja amesema kisheria ni watu wawili tu kwa mwezi ndio wanaoruhusiwa kumwona mahabusu moja.
Wakizungumza jana nje ya gereza hilo, wafuasi hao walisema walipofika hapo saa nne asubuhi waliambiwa kuwa tayari ndugu zake wanne walikwisharuhusiwa kuingia kumwona na kwamba idadi ya watu hao waliomuona inatosha.

No comments:

Post a Comment