Social Icons

rss feed facebook twitter google plus linkedin youtube email

Sunday, August 19, 2012

EID MUBARAK








Nachukua nafasi hii kuwatakia eid njema wanamzalendo na wazanzibari walio hapa nyumbani na walio popote duniani,Mola atujaalie maqbul katika saumu zetu ,ibada zetu, zakka na sadaka zetu ,kwa hakika ni Rehma kubwa kwetu na furaha iliyoje kwani kubahatika kupata siku za ramadhani kukukutia ukiwa hai na ukaweza kukamilisha huwa umejiongezea fungu kubwa katika maisha yako ya kesho na hayo ndio tunayoyaombe mbele ya Mola wetu.
Pia kwa siku hizi tukufu namuomba Mola wetu atukubalie dua zetu katika kupata taifa letu la zanzibar na kujiamulia mambo yetu bila ya mkono wa kidudu mtu.
Namalizia nikikutakieni wazanzibari walio hapa na duniani kote eid njema na ya furaha .amin

No comments:

Post a Comment