Social Icons

rss feed facebook twitter google plus linkedin youtube email

Tuesday, August 21, 2012

TAMKO RASMI LATOLEWA NA SHEIKH MSELEM


Amir wa Taasisi za kislamu na jumuiya ya uamsho zanzibar ametoa tamko rasmi leo nakuwagiza waislamu wote nchini wasishiriki sensa mpaka serikali itakapo amua kuweka kipengele cha dini.
Vile vile Amir Mselem amepinga vikali matamko ya KATIBU WA MUFTI ust SORAGA kwa kuwapotosha wananchi kwa kudai eti ofisi ya Mufti wamekubaliana na uamsho nakwamba watashiriki sensa.Amesema kweli tulifanya kikao na ofisi ya Mufti lakini hakuna tulichokubaliana hayo maneno wanayosema SORAGA sikweli.

Kwahyo waislamu tamko ndo lishatoka watekelezaji ndo sisi.

Kama muislamu wa iman thabit tunatumai utaungana na sisi katika kuipinga sensa.

WAISLAMU MTASHARIKI SENSA

No comments:

Post a Comment