Social Icons

rss feed facebook twitter google plus linkedin youtube email

Monday, March 25, 2013

Uamsho haina account wala page facebook



Masoud Khamis Al-Bimani

Jumuia ya UAMSHO na Mihadhara ya Kiislam Zanzibar haina account wala page ya Facebook, lakini kuna watu kwa makusudi wameamua kutengeneza Page ya Uamsho hapa FB, kwa lengo la kuitia Doa jumuiya, anakua anapost vitu visivyo na Maana, kwa lengo la kuupotosha Umma tujihadhari na watu hawa.

No comments:

Post a Comment