Jumuia ya UAMSHO na Mihadhara ya Kiislam Zanzibar haina account wala
page ya Facebook, lakini kuna watu kwa makusudi wameamua kutengeneza
Page ya Uamsho hapa FB, kwa lengo la kuitia Doa jumuiya, anakua anapost
vitu visivyo na Maana, kwa lengo la kuupotosha Umma tujihadhari na watu
hawa.
No comments:
Post a Comment