Social Icons

rss feed facebook twitter google plus linkedin youtube email

Wednesday, March 20, 2013

Al Qaeda wamuua mateka wa Kifaransa


Al Qaeda wamuua mateka wa Kifaransa
Mtandao wa al Qaeda wa kaskazini mwa Afrika umetangaza kuwa umemuua mateka wa Kifaransa katika kulipiza kisasi uingiliaji wa kijeshi wa Ufaransa nchini Mali. Mateka huyo wa Kifaransa kwa jina la Phillippe Verdon alikatwa kichwa na mtandao huo wa al Qaida tarehe kumi mwezi huu katika kile kundi hilo lilichokisema kuwa ni kulipiza kisasi cha mashambulizi yaliyoanzishwa na Paris huko Mali. Verdon alikuwa mmoja kati ya raia wawili wa Ufaransa waliotekwa nyara mwezi Novemba mwaka juzi huko kaskazini mwa Mali katika mji wa Hombori. 

No comments:

Post a Comment