
Hayo yameelezwa na Tijan Sallah Meneja wa Sekta ya Kilimo na Umwagiliaji katika ukanda huo. Sallah ameongeza kuwa lengo la kutekelezwa mpango huo ni kuboresha sekta ya kilimo katika nchi hizo za Kiafrika. Amesema kuwa, Benki ya Dunia imeamua kutoa misaada yake kwa nchi hizo kwa lengo la kustawisha zaidi utafiti katika sekta ya kilimo na kuboresha mafunzo kwenye sekta hiyo.
No comments:
Post a Comment