
Wataalamu wa mambo na mashirika ya afya ya Iraq yametahadharisha kuhusu hatari za athari mbaya za uvamizi na kukaliwa kwa mabavu Iraq na vikosi vya Marekani na kueleza kuwa Marekani ilitumia tani 35 za urani katika vita huko Iraq suala linalotishia maisha ya vizazi vijavyo. Munthi Mahmoud Shukr mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Baghdad ameashiria athari haribifu za urani kwa raia na mazingira ya maeneo yaliyoathiriwa na kueleza kuwa Marekani iliwatumia raia wa Iraq kama mapanya wa maabara na majaribio yake mbalimbali.
No comments:
Post a Comment