Social Icons

rss feed facebook twitter google plus linkedin youtube email

Sunday, September 16, 2012

Watu wasiojulikana Wameitia Moto Maskani ya Kachorora.






 Askari wa Kikosi za Zimamoto Zanzibar wakiwa katika zoezi la kuuzima moto uliokuwa wakiwaka katika maskani ya Kachorora Rahaleo unaosadikiwa kutiwa na watu wasiojulikana usiku wa jana katika maskani hiyo na kusababisha hasara ya mali ya moja ya duka la kutengeneza makochi katika maskani hiyo.

Wananchi wakishughudia moto uliokuwa ukiunguza mali katika maskani ya Kachorora juzi usiku.
Mabaki ya Duka la kutengeneza makochi katika maskani hiyo kama inavyoonekana pichani.


Moja ya Uharibifu uliotokea katika maskani hiyo
 Wananchi wakjiangali jengo la maskani ya Kachorora Rahaleo leo asubuhi baada ya sehemu yake kuunguwa kwa moto jana usiku na leo kuipamba maskani hiyo kwa bendera baada ya tukio  la kutiwa moto na watu wasiojulikana na kusababisha hasara

No comments:

Post a Comment