
ili kumaliza hitilafu za mpaka kati ya nchi mbili hizo. Msemaji wa pande mbili hizo amesema mazungumzo hayo yamekwenda vizuri na kwamba Rais wa Sudan Kusini anataraji kupatikana natija ya kuridhisha baada ya mazungumzo hayo. Hata hivyo msemaji huyo amesema kwamba bado hitilafu zingalipo na kwamba timu husika katika mazungumzo kati ya Juba na Khartoum zinajaribu kufanya kila linalowezekana ili kupunguza mpasuko uliopo.
No comments:
Post a Comment