Social Icons

rss feed facebook twitter google plus linkedin youtube email

Thursday, September 13, 2012

Israel yahofia kusambaratika Serikali ya Palestina



Israel yahofia kusambaratika Serikali ya Palestina
Utawala wa Kizayuni umeziomba Umoja wa Ulaya na Marekani kuisaidia kifedha Mamlaka ya Ndani ya Palestina ili kuzuia kusambaratika mamlaka hiyo kutokana na malalamiko ya wananchi katika maeneo ya Palestina. Gazeti la Kizayuni Maariv imeandika kuwa, Israel ina wasiwasi huu kwamba, kusambaratika uchumi katika maeneo yanayodhibitiwa na Serikali ya Ndani ya Palestina kutaibua Intifadha ya tatu ya Wapalestina. Utawala wa Kizayuni unaamini kuwa, hali mbaya ya kiuchumi katika maeneo yanayodhibitiwa na Mamlaka ya Ndani ya Palestina itadhoofisha mamlaka hiyo na idara za usalama za Serikali ya Ndani ya Palestina. Kwa msingi huo utawala wa Kizayuni umetuma barua za haraka kwa Umoja wa Ulaya na Marekani ukizitaka pande hizo kuisaidia kifedha Serikali ya Ndani ya Palestina ili kuzuia

No comments:

Post a Comment