Social Icons

rss feed facebook twitter google plus linkedin youtube email

Friday, September 21, 2012

Ujerumani na Tanzania zasaini mkataba wa mashirikiano usafiri wa anga



  QWaziri wa Uchukuzi Tanzania, Mhe. Waziri Mwakyembe (Mb) akisaini Mkataba kwa niaba ya Tanzania
 Waziri wa uchukuzi, Mhe. Waziri wa Mwakyembe (Mb) akibadilishana Mkatana na Waziri anayeshughulikia masuala ya Usafiri wa Ujerumani mara baada ya Mkataba huo kusainiwa.
 Waziri wa uchukuzi, Mhe. Mwakyembe (Mb) akimkabidhi zawadi Waziri mwenzake mara baada ya Mkataba kusainiwa
 Ujumbe wa Tanzania ulioshiriki katika majadiliano kabla ya kusainiwa Mkataba husika

No comments:

Post a Comment