Social Icons

rss feed facebook twitter google plus linkedin youtube email

Sunday, September 30, 2012

Walibya wakabidhi mamia ya silaha kwa jeshi



Walibya wamekabidhi mamia ya silaha kwa jeshi katika miji ya Benghazi na Tripoli kama sehemu ya mpango wa kukusanya silaha kutoka mikononi mwa raia ulioratibiwa na jeshi unaoyalenga makundi yenye silaha. Silaha mbalimbali yakiwemo maroketi na bunduki zimekabidhiwa kwa jeshi, katika mpango huo uliotangazwa kupitia runinga ya taifa. Mohamed Magarief Kiongozi wa Kongresi ya Taifa ya Libya ameapa kukabiliana na makundi yanayomiliki silaha kinyume cha sheria baada ya tukio la kuuawa balozi wa Marekani Christopher Steven nchini humo Septemba 11. Taarifa zinasema kwamba, katika mji wa Benghazi pekee zaidi ya raia 800 walikabidhi silaha kwa jeshi na kwamba zaidi ya silaha

No comments:

Post a Comment