Social Icons

rss feed facebook twitter google plus linkedin youtube email

Friday, January 11, 2013

MITAMBO YA KURUSHIA MATANGAZO YA REDIO YA MASAFA YA KATI YAZINDULIWA HUKO BUNGI ZANZIBAR


 
Waziri wa Mawasiliano,Sayansi na Teknolojia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Prof.Makame M,Mbarawa wapili kushoto akisalimiana na Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Said Ali mbarouk mara alipowasili katika ufunguzi wa Kituo cha Kurushia Matangazo ya Redio masafa ya kati(MIDIUM F)huko Bungi Wilaya ya Kati Unguja.
 
Waziri wa Mawasiliano,Sayansi na Teknolojia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Prof.Makame M,Mbarawa akikunjuwa Kitambaa kuashiria ufunguzi wa Kituo cha Kurushia Matangazo ya Redio masafa ya kati(MIDIUM F)huko Bungi Wilaya ya Kati Unguja.ikiwa ni shamra shamra za Maadhimisho ya miaka 49 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
 
Waziri wa Mawasiliano,Sayansi na Teknolojia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Prof.Makame M,Mbarawa akitoa hotuba katika sherehe za  ufunguzi wa Mitambo ya Matangazo ya Redio masafa ya kati(MIDIUM F)huko Bungi Wilaya ya Kati Unguja.ikiwa ni shamra shamra za Maadhimisho ya miaka 49 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
 
Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Said Ali mbarouk akitoa hotuba ya  kumkaribisha Waziri wa Mawasiliano,Sayansi na Teknolojia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Prof.Makame M,Mbarawa katika sherehe za ufunguzi wa  Mitambo ya Matangazo ya Redio masafa ya kati(MIDIUM F)huko Bungi Wilaya ya Kati Unguja.

No comments:

Post a Comment