Social Icons

rss feed facebook twitter google plus linkedin youtube email

Sunday, September 29, 2013

Utanuzi wa Kina cha Maji Bandari ya Sea Link Malindi zanzibar


Kampuni ya Azam Marine ikifanya utanuzi wa bandari inayotumia meli yake ya Mv Sea Link ili kuongeza kima cha maji ya bahari katika eneo hilo lilinalotumika na meli yake kwa kupakilia abiri na mizigo katika banmdari hiyo.Kima cha maji katika eneo hilo huwa ndogo wakati wa maji kutoka na kusababashi usumbufu kwa wakati huo.

No comments:

Post a Comment