Social Icons

rss feed facebook twitter google plus linkedin youtube email

Wednesday, September 18, 2013

JE UNAFAHAMU NINI KIMEJIRI MAHAKAMANI KWENYE KESI YA SHEKH PONDA LEO?BOFYA HAPA KUJUA

 
 
 Sheikh Ponda Akishuka kwenye basi la Magereza tayari kuingia Mahakamani Kusikiliza kesi yake inayomkabili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoani Morogoro.

 Sheikh Ponda akiwa Chini ya Ulinzi Mkali wakati akiingia Mahakamani kusikiliza kesi yake inayomkabili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoani Morogoro.

 Sheikh Issa Ponda akiingia Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoani Morogoro leo kusikiliza kesi yakeShekh Issa Ponda akiteta jambo na wakili wake Abdallah Nassoro
kundi la waislam wakiwa mahakamani leo kusikiliza kesi ya Shekh Ponda iliyokuwa imetajwa mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro.
Ulinzi Mkali ukiwa umeimarishwa Mahakamani leo wakati kesi hiyo ikiendelea
Shekh Issa Ponda alishtakiwa katika Mahakama Hiyo akikabiliwa na Mashtaka Matatu Ambayo inadaiwa aliyatenda Mkoani Morogoro katika Mkutano wa Hadhara mwezi uliopita.Kesi hiyo imearishwa tena Mpaka Tarehe 01.10.2013.Shekh Ponda amenyimwa dhamana hivyo Amerudishwa Rumande.Hata hivyo wakati wa kesi hiyo,wakili wa Shekh Ponda aliwasili ombi la kesi hiyo kuhamishiwa kisutu kutokana na jinsi mashtaka yalivyo.
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII HAPO CHINI

No comments:

Post a Comment