Social Icons

rss feed facebook twitter google plus linkedin youtube email

Wednesday, October 16, 2013

Rais Kikwete ashiriki Swala ya EID el Adh- ha jijini Dar leo katika Msikiti wa Maamour Upanga .

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na baadhi ya waumini wa dini ya Kiislamu muda mfupi baada ya kushiriki Swala ya EID iliyofanyika katika msikiti wa Maamour Upanga jijini Dar es Salaam leo asubuhi .
Picha na  Freddy Maro.
chanzo:- http://kkiislamtnz.blogspot.com