
Maandamano yalianza nchini Sudan baada ya bei ya mafuta ya petroli kupanda karibu mara dufu. Nchi hiyo ilipoteza mabilioni ya dola baada ya Sudan Kusini kujitenda mwaka 2011, na inasemekana kuwa tangu wakati huo serikali ya Khartoum imekuwa ikikabiliwa na mfumoko wa bei, kuanguka thamani ya sarafu na kupungua akiba ya pato la kigeni.
HII NDIO TAARIFA YA
POLISI KUHUSU VIJANA WALIOKAMATWA WAKIFANYA ZOEZI POLINI HUKO MTWARA
Written By umar makoo on Wednesday, October 9, 2013 | 4:42 AM
45
3
1
Hizi ni moja ya CD zilizokamatwa na askari wa jeshi la polisi Mtwara
ikiwemo na kuwakamata vijana 11 ambao wanadaiwa walikua wakifanya
mazoezi ya kijeshi waliyokua wakijifunza kutoka kwenye CD za magaidi
zilizokua na mafunzo kutoka kwa makundi ya Al Shabaab na Al Qaeda.
Taarifa zaidi unaweza kuzisoma hapo chini kwenye hiyo taarifa
iliyotolewa na jeshi la polisi. 2
Original from: http://www.googlehabari.blogspot.com/2013/10/hii-ndio-taarifa-ya-polisi-kuhusu.html
Copyright EXEIdeas - All Ri
Original from: http://www.googlehabari.blogspot.com/2013/10/hii-ndio-taarifa-ya-polisi-kuhusu.html
Copyright EXEIdeas - All Ri