Social Icons

rss feed facebook twitter google plus linkedin youtube email

Monday, October 14, 2013

Swala na Sherehe za Eid Leicester, England



Assalaamu Alaykum,

Wapenzi Waislamu wa mji wa Leicester na vitongoji vyake, kwa mara nyingine

 JUMUIA YA ANNOOR LEICESTER ina furaha kukualikeni katika

Sherehe za Eid ul Adh-ha hapo JUMANNE 15 Oktoba 2013

Ambazo kwa mara ya kwanza katika historia zitafanyika katika jengo letu jipya Inshaallah.

EID TAKBEER zitaanza saa mbili na robo asubuhi (8.15am)

SALA YA EID itasaliwa saa tatu kasorobo asubuhi (8.45am)

STAFTAHI ya pamoja baada ya Sala

ANWANI: Masjid An Noor Leicester, 170a Belgrave Gate, Leicester, LE1 3XL

Tafadhali wasiliana nasi kwa mchango wako kama kawaida ya miaka yote

Asaa Kakuzi 07951 644936

Malik 07983 614261


EID MUBAARAK !! KULLU AM WA ANTUM BIKHAYR !!