
Dereva wa
gari dogo akiwa na mtoto wa umri wa takriban miaka mitatu walijeruhiwa
vibaya na kukimbizwa hospitali. Wanafunzi wote walinusurika.

Uharibifu wa miundumbinu baada ya ajali hiyo

Askari wa
usalama barabarani wakiondoa mabegi ya wanafunzi hao ambao walitafutiwa
basi lingine kuwapeleka hospitali kwa uchunguzi zaidi

Wanafunzi wakiwa katika gari walilotafutiwa baada ya ajali hiyo

Magari ya break-down yakifanya juhudi ya kunyanyua basi hilo
