Social Icons

rss feed facebook twitter google plus linkedin youtube email

Saturday, October 13, 2012

VURUGU ZA MBAGALA

                  hizi na baadhi ya picha ya  tukilio lililotokea jana,,, huko mbagaya jijini der-es-salam
WATU wanaodaiwa kuwa ni Waislamu wamevamia makanisa mbalimbali yaliyopo Mbagala Kizuiani jijini, Dar  wakihamasisha vurugu wakimtuhumu mtoto Emmanuel Josephat kuwa amekojolea kitabu cha dini hiyo (Ms-hafu) Oktoba 10, mwaka huu.
Baadhi ya makanisa yaliyoshambuliwa ikiwa ni pamoja na kuchomwa moto magari yao ni  Kanisa la Sabato, Aglikana na T.AG .
(PICHA/HABARI: ERICK EVARIST/GPL)



















No comments:

Post a Comment