Social Icons

rss feed facebook twitter google plus linkedin youtube email

Monday, October 15, 2012

Maelfu ya Waislamu waandamana mjini London


Maelfu ya Waislamu waandamana mjini London
Maelfu ya Waislamu wameandamana nje ya makao makuu ya shirika la Google mjini London Uingereza kulalamikia hatua ya U-tube ya kukataa kuondoa filamu inayomvunjia heshima Mtume Muhammad (s.a.w). Maandamano hayo ya Waislamu elfu kumi ambayo yaliandaliwa na Jumuiya ya Muslim Action Forum yamefanyika ili kuilazimisha google kuondoa filamu hiyo chafu katika ukurasa wa u-tube. Masoud Alam muandaaji wa maandamano hayo ya London ameeeleza kuwa maandamano yao yajayo yatakuwa katika ofisi za google na u-tube duniani kote. Amesema wanaandamana ili kuipiga marufuku filamu hiyo dhidi ya matukufu ya Kiislamu.

No comments:

Post a Comment