
mashambulio hayo. Serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina na makundi mbalimbali ya muqawama huko Palestina yamelaani vikali jinai hizo za Israel. Makundi ya muqawama huko Palestina yamebainisha kwamba, damu za mashahidi hazitapotea bure. Viongozi wa Palestina wanaamini kwamba, utawala wa Kizayuni wa Israel umeshadidisha mashambulio yake huko Gaza katika siku za hivi karibuni ili kuzipotosha fikra za waliowengi ulimwenguni kuhusiana na matatizo makubwa ya ndani unayokabiliwa nayo.
No comments:
Post a Comment