Social Icons

rss feed facebook twitter google plus linkedin youtube email

Sunday, October 21, 2012

kusimama kidete ndiyo siri ya ushindi dhidi ya adui



kusimama kidete ndiyo siri ya ushindi dhidi ya adui
Kamanda Mkuu wa Jeshi Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (SEPAH) amesema kuwa, kusimama kidete wananchi na viongozi wa Iran ndiyo siri ya mafanikio na ushindi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kukabiliana na mashinikizo na vitisho vya maadui. Meja Jenerali Muhammad Ali Jaafari ameongeza kuwa, wananchi wa Iran wamesimama imara kwa lengo la kuhifadhi thamani za Mapinduzi ya Kiislamu licha ya kuwepo mashinikizo ya mabeberu wa Magharibi. Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema, madola ya Magharibi yamedhoofika na wala hayana uwezo wa kufanya shambulio la kijeshi dhidi ya Iran na kusisitiza kuwa, SEPAH daima iko imara kwa ajili ya kulinda ardhi ya Iran mbele ya uchokozi wa aina yoyote ile. Akielezea uchochezi wa Marekani, utawala wa Kizayuni wa Israel na baadhi ya nchi za eneo la Mashariki ya Kati wa kuleta ghasia na machafuko nchini Syria, Meja Jenerali Jaafari ameongeza kuwa, njama za maadui zimegonga za kumng'oa Rais Bashar Assad pamoja na kusambaratisha muqawama wa wananchi wa

No comments:

Post a Comment