Social Icons

rss feed facebook twitter google plus linkedin youtube email

Thursday, December 20, 2012

Athari za uvuvi haramu na ydhubutu wake yafanyika Zanzibar


 Baadhi ya Wajumbe walioshiriki katika Semina ya Uwelewa juu ya Athari za Uvuvi Haramu na Udhibiti wake unaotokana na Sheria mpya ya Uvuvi namba 7 ya mwaka 2010.huko katika Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mbweni nje ya Mjiwa Zanzibar.
 Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdillahi Jihad Hassan akifungua Semina kuhusu Uwelewa juu ya Athari za Uvuvi Haramu na Udhibiti wake unaotokana na Sheria mpya ya Uvuvi namba 7 ya mwaka 2010.huko katika Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mbweni nje ya Mji wa Zanzibar.
 Mkurugenzi wa wa Idara ya Maendeleo ya Uvuvi Mussa Aboud Jumbe akionyesha Nyavu za kukokota ambazo ni hatari kwa kuuwa matumbawe na mazalio ya Samaki katika Semina kuhusu Uwelewa juu ya Athari za Uvuvi Haramu na Udhibiti wake unaotokana na Sheria mpya ya Uvuvi namba 7 ya mwaka 2010.huko katika Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mbweni nje ya Mji wa Zanzibar.
 Mkurugenzi wa wa Idara ya Maendeleo ya Uvuvi Mussa Aboud Jumbe katikati akionyesha Dema lililotengenezwa kwa Waya ambalo ni baya kwa kuharibu Matumbawe na kuvuwa samaki wachanga katika Semina kuhusu Uwelewa juu ya Athari za Uvuvi Haramu na Udhibiti wake unaotokana na Sheria mpya ya Uvuvi namba 7 ya mwaka 2010.huko katika Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mbweni nje ya Mji wa Zanzibar.
Mkurugenzi wa wa Idara ya Maendeleo ya Uvuvi Mussa Aboud Jumbe akionyesha Kikopo ambacho hutumika kwa Kuvulia Pweza na kinacho kubalika kisheria katika Semina kuhusu Uwelewa juu ya Athari za Uvuvi Haramu na Udhibiti wake unaotokana na Sheria mpya ya Uvuvi namba 7 ya mwaka 2010.huko katika Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mbweni nje ya Mji wa Zanzibar.
PICHA ZOTE NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR.20/12/2012

No comments:

Post a Comment