
Akihutubia wananchi katika maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani hapo jana, Waziri Duni Haji alisema unyanyapaa bado unaendelea kukita mizizi miongoni mwa jamii ya Waswahili na ametoa wito kwa Wazanzibari kubadili mwenendo huo.
Ripoti ya UN inaonyesha kuwa kiwango cha maambukizo ya VVU kimepungua katika nchi masikini na kupanda katika nchi zilizoendelea hususan Marekani na nchi kadhaa za Ulaya.
No comments:
Post a Comment